Jumamosi, 26 Machi 2016

ELEWA LEO KUHUSU YELLOW FEVER/HEPATITIS B (HOMA YA MANJANO)




UTANGULIZI.
Ugonjwa    wa Manjano    ambao hufahamika kitaalamu  kama HEPATITIS  B  ni hatari  sana  na umesababisha vifo  vya  mamilioni  ya  watu  duniani  kote.  Kwa  mujibu  wa ripoti  ya  Shirika  la  Afya  Duniani  (W.H.O)   kuna  zaidi ya watu Milioni  350  duniani  ambao  wameathiriwa  na  ugonjwa  huu hatari   kabisa  na  zaidi  ya  watu  620,000  hufa  kila  mwaka  kwa ugonjwa  wa Manjano.
CHANZO   CHA  UGONJWA  WA  MANJANO
Ugonjwa  wa  Manjano  husababishwa  na  virusi  viitwavyo  “ Hepatitis  B “ (HBV)  ambavyo  hushambulia zaidi ini  la mwanadamu. Virusi  hivi  visipo  tibiwa  mapema  hutengeneza uvimbe  katika  ini  na  kusababisha  saratani ya ini (livercancer) ambayo hupelekea  kifo.
 
MAAMBUKIZI  YA  UGONJWA WA  MANJANO.
Ugonjwa    wa  Manjano  huambukizwa  kwa  njia  zifuatazo  :
i.                   Kujamiiana  bila  kutumia  kinga.
ii.                Kunyonyana  ndimi
iii.             Kuchangia  damu  isiyo  salama
iv.             Mama  mjamzito mwenye  ugonjwa  huu  anaweza kumuambukiza  mtoto  wake  wakati  wa  kujifungua.
v.                Kuchangia  vitu  vyenye  ncha  kali  kama  vile  wembe  na sindano.

                        DALILI  ZA  UGONJWA  WA  MANJANO
Dalili  za  ugonjwa wa  manjano  huchukua  muda  mrefu kuonekana  tangu  maambukizi  yatokee, na  zinapo  anza kuonekana  wazi  wazi, mgonjwa  anakuwa  amesha  athirika  kwa kiwango  kikubwa  sana.  Dalili  za  ugonjwa   huu  ni  kama ifuatavyo :
i.                     Uchovu  wa  mwili
ii.                Kichefuchefu
iii.             Mwili  kuwa  dhaifu
iv.             Homa  kali
v.                 Kupoteza  hamu  ya  kula
vi.             Kupungua  uzito
vii.          Kupatwa  na  maumivu  makali  ya  tumbo upande  wa  ini.
viii.       Kukojoa  mkojo  wa  rangi  nyeusi
ix.              Macho  na  ngozi  kuwa  vya  njano.

KINGA   YA  UGONJWA  WA  MANJANO
i.                    Kupatiwa  chanjo  ya  kujikinga  na  maambukizi  ya ugonjwa  huu.
ii.                Kutumia  kinga  wakati  wa  kujamiiana
iii.             Kuacha   kuchangia  vitu  vyenye  ncha  kali  kama  sindano, wembe  n.k
iv.             Kutochangia  mswaki
v.                Kuwa  na  mpenzi  mmoja  mwaminifu
vi.             damu  ambayo  haijapimwa  na  kuthibitika kuwa  salama isiongezwe kwako (transfussion)

                     TIBA   YAKE MAHOSPITALINI  
Ugonjwa  wa  manjano  hauna  tiba  isipokuwa  mgonjwa   akiwahi hospitali  atapatiwa  dawa za  kupambana  na  virusi  kuvipunguza nguvu  za  kupambana  na  ini., kupandikizwa  ini  ambapo ini lililoathirika  huondolewa  na  kuwekwa  jingine  japo  ni  vigumu kupata  ni  salama.
Ukisha  gundua  kuwa  umeambukizwa  ugonjwa  huu unashauriwa   kuacha  kutumia  pombe, dawa  za  kulevya  na  vitu vingine  vinavyo  athiri  utendaji  kazi  wa  ini.

TIBA YA ASILI KWA MIMEA
kuna baadhi ya mimea imekua ikisaidia sana mwanzo kwa kupunguza kasi na kuugulia dalili zoote na baadae kuumaliza kabisa ugonjwa huu lakini ufafanuzi wa mimea hii na namna ya kuichanganya wasiliana na muendesha blogu hii kwa simu ya kawaida (kupiga)

piga simu namba

0756636990 au 0653148743

Dr Khalid Mzuka

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

mtu yeyote anaruhusiwa kuuliza swali hata kama ni kwa niaba ya mwenzie